Ili kuepuka miale ya jua kali, si uchangue kumpokea Yesu Kristo Mwokozi, wale wote ambao hawatampokea Kristo kama Mwokozi wao wata pelekwa na kukaa jehanum pamoja na shetani milele na milele, wewe ni mmoja wa wale wasioamini Kristo? Mimi ninaamini kwa sababu Biblia inasema ya kwamba, Mungu yuko tayari kupokea wote watakao muamini.


Tafadhali tuelewe ya kwamba kuepuka kufanana na mapepo ya jehanum ni kuwa na imani kwa sababu jehanum itakuwa ya kutisha zaidi ya maelezo yetu.



"Kisha atawaambia na wale walioko mkono wake wa kushoto, Ondokeni kwangu, mliolaaniwa, mwende katika moto wa milele, aliowekewa tayari aliotayarishiwa Ibilisi na malaika zake;- Mathayo 25:41






Ili kuepuka hatari hii ya kuambiwa "Ondoka kwangu ..." na kupata hukumu ya milele ni vizuri ukubali kumpokea YESU KRISTO kama Mwokozi wako sasa.

Ijayo