Kwa kweli utakapokufa au usipokufa hutaweza kuchukua chochote ulimwengu huu, hii inamaanisha nyumba yako, gari lako, biashara zako, pesa zako hata kingine chochote kitakua duni na havita kufaidi kwa vyovyote vile.


"maana atakapokufa hatachukua cho chote; Utukufu wake hautashuka ukimfuata. – Zaburi 49:17


“Alivyotoka tumboni mwa mamaye, atakwenda tena tupu-tupu kama alivyokuja; asichune kitu cho chote kwa ajili ya kazi yake, hata akichukue mkononi mwake. – Muhubiri 5:15


Je, ninyi mlitumia maisha yenu kupata hazina ya kidunia? Je, mumefanya maandalizi kwa ajili ya mbinguni? Ni akaunti yenu ya kiroho milio jiadalia?


Ijayo